Government Jobs, Jobs o, nursing jobs, Job listings inmy area, Job listing website, It job finder, Search for jobs in my area, Job posting website, Job position, job listings, job postings, nursing employment, resume, post a job indeed, job search board, indeed cv database, post job
Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga anakaribisha maombi ya nafasi za kazi
kutoka kwa Watanzania wote wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi tajwa
hapo juu
MTENDAJI KIJIJI NAFASI 12
SIFA ZA MWOMBAJI
- mwenye elimu ya kidao cha IV
au VI aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo
Utawala , Sheria, Elimu ya jamii usimamizi wa fedha maendeleo ya jamii na
sayansi ya jamii kutoka chuo cha Serikali za mitaa Homboro Dodoma au
chochote kinacho tamblika na serikali
KAZI NA MAJUKUMU
- Afisa masuuli na Mtendaji
Mkuu wa Serikali ya Mitaa
- kusimamia ulinzi na usalama
wa raia na mali zao
- kuratibu na kusimamia
upangaji wa utekelezaji wa mipnago ya maendeleo ya kijiji
- kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibi
- katibu wa mikutano ya kamatai zote za Halmashauri ya
KIJIJI
- kuandaa taaraifa za utekelezaji wa kazii katika eneo lake na
kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa
Njaa, Umskini na kuongeza uzalishaji wa mali
- Kiongozi mkuu wa vitengo vya kitaalam kijijini
- kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbu kumbu zote za nyaraka za
kijiji
MSHAHARA
- atalipwa mshahara wa TGS B1
MASHARTI YA JUMLA
- waombaji wawe raia wa Tanzania na wenye umri kati ya miaka 18
hadi 45
- muombaji awasilishe picha moja ya hivi karibuni
- waombaji wawasilishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV)
yenye anauani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ma 3 ya
wadhamini wa kuaminika
- waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti halis vya
masomo na taaluma na atakaye wasilisha result slip, statement of results
provisional results au transcripts havitakubaliwa
- kwa waliosoma nje ya nchi elimu ya kidato cha 4 na kidato cha
sita wawasilishe uthibitisho wa kutoka NECTA
- kwa walio maliza vyuo vikuu nje wawasilishe uthibitisho kutoka
tcu
- WOTE WATAKAO KUWA SHORTLISTED
ndio watakaoitwa kwenye usaili
- maombi yasiozingatia vigezo
hayata shughulikiwa
mwisho wa kupokea maombi nitarehe 11/12/2017 saa 9:30
alasiri
MUHIMU :- kumbuka kuambatanisha
barua yako ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu. maombi yatumwe
kwa
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA MJI,
S.L.P 135,
MBINGA
TANGAZO PIA LINAPATIKANA KWENYE
TOVUTI YA HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA www.mbingatc.go.tz
Government Jobs, Jobs o, nursing jobs, Job listings inmy area, Job listing website, It job finder, Search for jobs in my area, Job posting website, Job position, job listings, job postings, nursing employment, resume, post a job indeed, job search board, indeed cv database, post job