Askari wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), wakishirikiana na Jeshi la Polisi, wanamshikilia Samwel Nzagi Kilang'ani (63) kwa tuhuma za kutoboa bomba la mafuta ya dizeli mali ya TPA na kujiunganishia hadi kwenye nyumba yake.
Ambako ameweka mantaki makubwa ambayo ameyachimbia chini ya ardhi.
Chanzo: Nipashe
MATUKIO ZAIDI BOFYA HAPA Government Job, nursing jobs, Job listings inmy area, It job finder, Search for jobs in my area job postings, nursing employment, post job


